Namna ya Kufanya Malipo Benki, MPESA, TIGOPESA, AIRTEL

Kufanya Malipo kwa Kuweka Benki kwa Mkono

  • Jina Benki: CRDB PLC
  • Tawi: Arusha
  • Jina la Akaunti:  InfoCom Center
  • Akaunti  Namba. 01j1034874900
  • Swift Code: CORUTZTZ

Kufanya Malipo kwa Kutumia  M-PESA Kwenda Benki:

Kwenye sehemu ya kupigia simu Andika * 150 * 00 # na ubonyeze kitufe cha kupiga

  1. Bonyeza # 6 – kwenda kwenye huduma za kifedha
  2. Chagua # 2 – M-PESA kwenda  Benki
  3. Chagua kutoka kwenye orodha # 1 – CRDB
  4. Chagua # 1 ili kuweka namba ya akaunti
  5. Ingiza namba ya akaunti (Namba ya akaunti  yetu ni: 01J1034874900 AU 0111034874900)
  6. Weka – kiasi kinachodaiwa – (namba tu) = TZS………………………….
  7. Weka namba ya siri – Ingiza namba yako ya siri ya MPESA
  8. Bonyeza 1 kuthibitisha -Ingiza namba. 1 kukubali malipo

Subiri  ujumbe wa kukamilisha muamala wako  kutoka Vodacom na CRDB. Kama malipo hayakufanikiwa, tafadhali rudia kuanzia hatua namba. 1 hapo juu

Malipo ya Benki kwa Tigo-PESA

Kwenye sehemu ya kupigia simu Andika * 150 * 00 # na ubonyeze kitufe cha kupiga

  1. Bonyeza # 7 – huduma za kifedha
  2. Bonyeza # 1 – Tigo-PESA kwenda Benki
  3. Chagua kwenye orodha # 1 – CRDB
  4. Chagua # 1 ili kuingiza namba ya akaunti
  5. Ingiza namba ya akaunti (Namba ya akaunti  yetu ni: 01J1034874900 AU 0111034874900)
  6. Weka – kiasi kinachodaiwa (namba tu) = TZS………………………………
  7. Weka namba ya siri ili kuthibitisha muamala wako

Subiri ujumbe wa kukamilisha mualamala kutoka Tigo na CRDB. Kama malipo hayakufanikiwa tafadhali  rudia kuanzia  hatua na. 1 hapo juu

Malipo kwa Airtel Money Kwenda Banki:

  1. Kwenye sehemu ya kupigia simu Andika * 150 * 00 # na ubonyeze kitufe cha kupiga
  2. Chagua 1: Kutuma Pesa “BURE”
  3. Chagua 3: Tuma kwenda Benki
  4. Chagua 2: Benki ya CRDB
  5. Weka Nambari ya Akaunti ((Namba ya akaunti  yetu ni: 01J1034874900 AU 0111034874900))
  6. Weka – kiasi kinachodaiwa (idadi Tu) = TZS………………………..
  7. Weka namba ya siri ili kuthibitisha muamala wako

Utapokea ujumbe kutoka Airtel kwa mfano

“Txn Id: NW160506.0901.A02324 Umelipa TZS.196,000.00 kwenda Benki ya CRDB (Mafanikio: Kiasi kilichobaki kwenye akaunti yako ni 200.00Tshs.”

Ushahidi wa Malipo

MUHIMU!

Tuma kwetu  ushahidi wa malipo pamoja na invoice ya madai kupitia barua pepe ya malipo: lembu@infocomcenter.com

Kuondoa usumbufu, tuma kwa kuijibu email yenye invoice yetu ya mwisho

Hutapewa huduma mpaka ushahidi wa malipo kwa kufuata utaratibu ufuatao utumwe kwetu:

  1. Ambatanisha invoice ya madai kutoka kwetu na ushahidi wa malipo
  2. Kama umeweka kwa mkono benki, tupa slipu kutoka benki
  3. Kama umeweka kwa kutumia wakala wa benki, pia ambatanisha slipu ya malipo
  4. Kama umetuma kwa kutumia simu, tutumie ujumbe wa kupokelewa pesa kutoka CRDB
  5. Kumbuka pia kuweka ushahidi  wa malipo kwa ajili ya kumbukumbu kwa sababu tunaweza kuhitaji huko mbeleni.
Vitu vinavyotakiwa ili kutengeneza website ya Kanisa

Vitu vinavyotakiwa ili kutengeneza website ya Kanisa

Vitu vinavyotakiwa ili kutengeneza website ya kanisa ni hivi hapa chini:

#1.  Unatakiwa uwe na domain au jina linaloakisi jina la Kanisa

Mfano

  • kristomfalme.church
  • kristomfalme.or.tz
  • kristomfalmechurch.or.tz

#2.  Unatakiwa pia kununua hosting

Maelezo kuhusu hosting na tofauti zao

Kwa matumizi madogo tunashauri shared hosting na kwa matumizi makubwa na muhimu tunashauri VPS yaani Virtual Private Server na kwa yale matumizi maalum yenye kuhitaji usalama wa hali ya juu tunashauri dedicated server.  Shared server ni rahisi sana kwani zinakuwa kati ya dola moja hadi dola 10 kwa mwezi  wakati, VPS inakupatia vionjo vyote vya dedicated server kwa bei ya wastani kati ya dola 10 hadi chini ya mia kwa mwezi. Dedicated server senyewe bei zake ziko juu kwani zingine zaweza fika dola mia na zaidi kwa mwezi

#3.  Taarifa za website

Ukishanunua hosting unatakiwa kuanda taarifa za kuweka kwenye website kwa mfumo huu hapa chini. Kumbuka taarifa ni pamoja na maneno, sauti, video na picha

 Mpangilio na muundo pendekezwa wa website

KUHUSU KANISA

  • Uongozi wa Kanisa
  • Barua ya Mchungaji Kiongozi
  • Historia ya Kanisa
  • Maono na Utume
  • Tunu za Kanisa
  • Tamko la Imani

HUDUMA ZA KANISA

  • Idara ya Watoto
  • Ibada za Kanisa
  • Kwaya
  • Vijana –
  • Akina Mama – WWK
  • Uinjilisti na Umisheni
  • Wajane na Yatima
  • Makanisa ya Maeneo

MIRADI YA KANISA

  • Mradi wa Akina Mama
  • Mradi wa Ujenzi wa Kanisa
  • Mradi wa shule
  • Academy
  • Mradi wa Kwaya
  • Mradi wa Compassion

HABARI NA MATUKIO

  • Matukio Juma Hili
  • Habari Picha (Picha za matukio zipangwe kulingana na matukio)
  • Kalenda ya Kanisa ya mwaka (Matukio ya kuweka kwenye website kwa mwaka mzima)
  • Ratiba ya wiki

SHUHUDA NA MAONI

MAWASILIANO

  • Jina ya Idara/kitengo
  • Jina la mkuu wa kitengo/idara
  • Simu
  • EMail
  • Ramani ya Google

HUDUMA ZA KICHUNGAJI

  • Jina la mchungaji au mtumishi
  • Simu ya mkononi

MAHITAJI NA MAOMBEZI

Vitu vinavyotakiwa ili kutengeneza website ya Kampuni ya Utalii

Vitu vinavyotakiwa ili kutengeneza website ya kampuni ya utalii ni hivi hapa chini:

#1.  Unatakiwa uwe na domain au jina linaloakisi biashara ya utalii

Mfano

  • safariforleisure.com
  • safariforleisure.co.tz
  • wildlifeadventure.com
  • wildlifeadventure.co.tz
  • hakunamatatatours.com
  • hakunamatatatours.co.tz

#2.  Unatakiwa pia kununua hosting

Maelezo kuhusu hosting na tofauti zao

Kwa matumizi madogo tunashauri shared hosting na kwa matumizi makubwa na muhimu tunashauri VPS yaani Virtual Private Server na kwa yale matumizi maalumu yenye kuihitaji usalama wa hali ya juu tunashauri dedicated server.  Shared server ni rahisi sana kwani zinakuwa kati ya dola moja hadi dola 10 kwa mwezi  wakati, VPS inakupatia vionjo vyote vya dedicated server kwa bei ya wastani kati ya dola 10 hadi chini ya mia kwa mwezi. Dedicated server senyewe bei zake ziko juu kwani zingine zaweza fika dola mia na zaidi kwa mwezi

#3.  Taarifa za website

Ukishanunua hosting unatakiwa kuanda taarifa za kuweka kwenye website kwa mfumo huu hapa chini. Kumbuka taarifa ni pamoja na maneno, sauti, video na picha.

Tuwasiliane kwa maelezo na huduma bora

 

Pin It on Pinterest