1. Kwenye sehemu ya kupigia simu Andika * 150 * 00 # na ubonyeze kitufe cha kupiga
  2. Bonyeza # 6 – kwenda kwenye huduma za kifedha
  3. Chagua # 2 – M-PESA kwenda  Benki
  4. Chagua kutoka kwenye orodha # 1 – CRDB
  5. Chagua # 1 ili kuweka namba ya akaunti
  6. Ingiza namba ya akaunti (Namba ya akaunti  yetu ni: 01J1034874900 AU 0111034874900)
  7. Weka – kiasi kinachodaiwa – (namba tu) = TZS………………………….
  8. Weka namba ya siri – Ingiza namba yako ya siri ya MPESA
  9. Bonyeza 1 kuthibitisha -Ingiza namba. 1 kukubali malipo

Subiri  ujumbe wa kukamilisha muamala wako  kutoka Vodacom na CRDB. Kama malipo hayakufanikiwa, tafadhali rudia kuanzia hatua namba. 1 hapo juu

Pin It on Pinterest

Share This