1. Kwenye sehemu ya kupigia simu Andika * 150 * 00 # na ubonyeze kitufe cha kupiga
  2. Chagua 1: Kutuma Pesa “BURE”
  3. Chagua 3: Tuma kwenda Benki
  4. Chagua 2: Benki ya CRDB
  5. Weka Nambari ya Akaunti ((Namba ya akaunti  yetu ni: 01J1034874900 AU 0111034874900))
  6. Weka – kiasi kinachodaiwa (idadi Tu) = TZS………………………..
  7. Weka namba ya siri ili kuthibitisha muamala wako

Utapokea ujumbe kutoka Airtel

kwa mfano “Txn Id: NW160506.0901.A02324 Umelipa TZS.196,000.00 kwenda Benki ya CRDB (Mafanikio: Kiasi kilichobaki kwenye akaunti yako ni 200.00Tshs.”

Pin It on Pinterest

Share This