1. Kwenye sehemu ya kupigia simu Andika * 150 * 00 # na ubonyeze kitufe cha kupiga
  2. Bonyeza # 7 – huduma za kifedha
  3. Bonyeza # 1 – Tigo-PESA kwenda Benki
  4. Chagua kwenye orodha # 1 – CRDB
  5. Chagua # 1 ili kuingiza namba ya akaunti
  6. Ingiza namba ya akaunti (Namba ya akaunti  yetu ni: 01J1034874900 AU 0111034874900)
  7. Weka – kiasi kinachodaiwa (namba tu) = TZS………………………………
  8. Weka namba ya siri ili kuthibitisha muamala wako

Subiri ujumbe wa kukamilisha mualamala kutoka Tigo na CRDB. Kama malipo hayakufanikiwa tafadhali  rudia kuanzia  hatua na. 1 hapo juu

Pin It on Pinterest

Share This