Malipo ya Benki kwa Tigo-PESA

  1. Kwenye sehemu ya kupigia simu Andika * 150 * 00 # na ubonyeze kitufe cha kupiga
  2. Bonyeza # 7 – huduma za kifedha
  3. Bonyeza # 1 – Tigo-PESA kwenda Benki
  4. Chagua kwenye orodha # 1 – CRDB
  5. Chagua # 1 ili kuingiza namba ya akaunti
  6. Ingiza namba ya akaunti (Namba ya akaunti  yetu ni: 01J1034874900 AU 0111034874900)
  7. Weka – kiasi kinachodaiwa (namba tu) = TZS………………………………
  8. Weka namba ya siri ili kuthibitisha muamala wako

Subiri ujumbe wa kukamilisha mualamala kutoka Tigo na CRDB. Kama malipo hayakufanikiwa tafadhali  rudia kuanzia  hatua na. 1 hapo juu

Malipo kwa Airtel Money Kwenda Banki

  1. Kwenye sehemu ya kupigia simu Andika * 150 * 00 # na ubonyeze kitufe cha kupiga
  2. Chagua 1: Kutuma Pesa “BURE”
  3. Chagua 3: Tuma kwenda Benki
  4. Chagua 2: Benki ya CRDB
  5. Weka Nambari ya Akaunti ((Namba ya akaunti  yetu ni: 01J1034874900 AU 0111034874900))
  6. Weka – kiasi kinachodaiwa (idadi Tu) = TZS………………………..
  7. Weka namba ya siri ili kuthibitisha muamala wako

Utapokea ujumbe kutoka Airtel

kwa mfano “Txn Id: NW160506.0901.A02324 Umelipa TZS.196,000.00 kwenda Benki ya CRDB (Mafanikio: Kiasi kilichobaki kwenye akaunti yako ni 200.00Tshs.”

Kufanya Malipo kwa Kutumia  M-PESA Kwenda Benki:

  1. Kwenye sehemu ya kupigia simu Andika * 150 * 00 # na ubonyeze kitufe cha kupiga
  2. Bonyeza # 6 – kwenda kwenye huduma za kifedha
  3. Chagua # 2 – M-PESA kwenda  Benki
  4. Chagua kutoka kwenye orodha # 1 – CRDB
  5. Chagua # 1 ili kuweka namba ya akaunti
  6. Ingiza namba ya akaunti (Namba ya akaunti  yetu ni: 01J1034874900 AU 0111034874900)
  7. Weka – kiasi kinachodaiwa – (namba tu) = TZS………………………….
  8. Weka namba ya siri – Ingiza namba yako ya siri ya MPESA
  9. Bonyeza 1 kuthibitisha -Ingiza namba. 1 kukubali malipo

Subiri  ujumbe wa kukamilisha muamala wako  kutoka Vodacom na CRDB. Kama malipo hayakufanikiwa, tafadhali rudia kuanzia hatua namba. 1 hapo juu

Pin It on Pinterest